Thursday, February 26


Kocha wa timu ya Taifa ya Nigeria, Eric Chelle amedainkiwa ndoto yake ni kuhakikisha siku Moja anakuwa mwalimu wa kwanza kutokea barani Afrika, kuinoa klabu ya Real Madrid

🗣️”Ndoto yangu ni kuwa kocha wa kwanza kutoka Afrika kuinoa Real Madrid ya Hispania .”

-Eric Chelle, kocha wa timu ya Taifa ya Nigeria, ‘The Super Eagles’.

UNAHISI NDOTO YAKE INA NAFASI YA KUTIMIA KWENYE UHALISIA?!

Wananiitaga MJUMBE, na MJUMBE hauwawi 🗣️📢

.
Follow: @musamkwaju

.

#realmadrid #michezo #africa #nigeria



Source

Share.
© 2026 Talk About Nigeria. All Rights Reserved.
Exit mobile version