Thursday, August 27


Usiku wa jana @harmonize_tz amekubali yaishe baada ya kupost katika insta story yake video zake akijivinjari na @malaikacute55 maana yake yote hadharani sasa hivi

Sasa hapo nyuma wakati wawili hao walikuwa awaha mahusiano ya kimapenzi malaika alishawai kufunguka kuwa Konde sio hadhi yake na wahaendani

Hapo mwanzo kabla ya harmonize kudate na Malaika alikuwa kwenye mahusiano ya kimapenzi na Poshqueen huku malaika alikuwa ni mke wa @ricardomomo

Andika methali inayowafaa wawili hawa kwa sasa!!!

cc: @udaku_kingdom

✍ @teddie_.allan



Source

Share.
© 2026 Talk About Nigeria. All Rights Reserved.
Exit mobile version